wazua Mon, Dec 29, 2025
Welcome Guest Search | Active Topics | Log In

WAPO!! Sio Tz tu... Hapa pia WAPO!
masukuma
#1 Posted : Thursday, March 30, 2017 3:29:45 PM
Rank: Elder


Joined: 10/4/2006
Posts: 13,822
Location: Nairobi

Quote:

Unacho kipanda leo ndicho utachovuna kesho
Imeandikwa mwanaume kula kwa jasho
Najiuliza hivi nani kaiona kesho
Chapa mwendo na ukilala hauna chako
Hivi uhuru wa kuongea kwenye nchi bado upo
Nsije kuongea vitu kesho nikajikuta Central…

Kuna viongozi wavuta bangi ,"WAPO!!!" maana wana maamuzi ya kifee ,"WAPO!!!"

Walio mmiss Kibaki ,"WAPO!!!" na waliochoka kuisoma namba, "WAPO!!!"
Kuna wasanii mateja ,"WAPO!!!" na waliopoteza marinda "WAPO!!!" ah
Kuna radio na tv naona vimeshapoteza CV uh
Hakuna uhuru wa habari wala taarifa ya habari
Wanapindisha pindisha kuiogopa serikali hah

Siamini nchi inaendeshwa kwa kiki
Siasa inafunika muziki viongozi wanashindana kukiki
Wanagombea front page wauze kwenye gazeti
Nasikia kuna viongozi wame forge vieti, "WAPO!!!"
kuna mademu wanasagana, "WAPO!!!"
Eti kuna vidume vinalelewa ,"WAPO!!!" sijasikia mnasema,"WAPO!!!"
Kuna ma staa wanajiuza, "WAPO!!!" wapenda habari za udaku kuliko kazi, "WAPO!!!"
Eti kuna wasanii wanarogana ,"WAPO!!!" sijasikia mnasema?
Kiongozi mwenye busara anapokea ushauri
Anapokea mawazo haweki mbele kiburi

Haya samahani muheshimiwa hivi unamjua Wailer?
Hili ni jipu jipya toka Kamagut
Limeshaiva na usaa limeshatunga nakukabidhi sindano ya kulidunga
Daktari haogopi kubwa kidonda we si doctor wa majipu?
Tumbua hakuna kuvunga

Kuvamia ofisi za watu hee kumbe nayo ni kazi
Hakuna noma wanangu tupige kazi bodaboda kazi Bajazi kazi
Eti vipi kukaba nayo ni kazi
Nasikia kuna viongozi wame forge vieti ,"WAPO!!!" kuna mademu wanasagana ,"WAPO!!!"
Eti kuna vidume vinalelewa ,"WAPO!!!" sijasikia mnasema ,"WAPO!!!"
Refa ni wao piga manati chapaa vita ya masai na mang’ati fire
Biashara ya ngono na super shafti ahaa pumzi imekata nashika shati (sudibidii)
Siamini nchi inaendeshwa kwa kiki
Siasa inafunika muziki viongozi wanashindana kukiki
Wanagombea front page wauze kwenye gazeti
Kuna viongozi wavuta bangi ,"WAPO!!!" maana wana maamuzi ya kifee ,"WAPO!!!"
Walio mmiss Kibaki ,"WAPO!!!" na waliochoka kuisoma namba ,"WAPO!!!"
Nasikia kuna viongozi wame forge vieti ,"WAPO!!!" kuna mademu wanasagana ,"WAPO!!!"
Eti kuna vidume vinalelewa ,"WAPO!!!" sijasikia mnasema ,"WAPO!!!"
Hahaa aah we mtu gani sasa? Hutaki kushauriwa hutaki kukosolewa
Umerogwa wewe! Unajiona ndugu yake na Yesu eeh eeh!
Oya wanangu eeh round hii mtanyooka haki ya Mungu
Naona kichaa kapewa rungu

Ayaa also mkifanyiwa piga manati vita ya masai na mang’ati
Pesa na ngono na super shafti pumzi imekata nashita shati
Chapaa…. Fire… Utakula jeuri yako ahaa! Free Nation
Mi ndo yule afcast wa kinyakyusa na kichaga
Oya Amosi Seja! Mbeya City one love hahaa The True Boy Is In The Building
All Mushrooms are edible! Some Mushroom are only edible ONCE!
Users browsing this topic
Guest
Forum Jump  
You cannot post new topics in this forum.
You cannot reply to topics in this forum.
You cannot delete your posts in this forum.
You cannot edit your posts in this forum.
You cannot create polls in this forum.
You cannot vote in polls in this forum.

Copyright © 2025 Wazua.co.ke. All Rights Reserved.