wazua Sun, Feb 23, 2025
Welcome Guest Search | Active Topics | Log In | Register

3 Pages<123
Best Kenyan songs of all time
Mukiri
#41 Posted : Saturday, October 13, 2012 4:22:36 PM
Rank: Elder


Joined: 7/11/2012
Posts: 5,222
Lolest! wrote:
@philanga, that should be Wachira Waigwa's Marry Me

Great song. But can't find the lyrics.


A great song indeed, slow and mellow, would melt even the hardest of hearts. I've searched for it on the net to no avail, might you have a link?

Proverbs 19:21
Ngogoyo
#42 Posted : Friday, February 16, 2018 3:28:36 PM
Rank: Member


Joined: 6/22/2011
Posts: 561
Location: House
Naileta kwa mtaa yenu kama bunduki
Tena naileta kama chuki
Nafuata nyuki
Na silaha na kufunga kazi
Nafanya kazi ama nimeandika wafanyikazi
Tunakufa na umaskini ukimwi alafu mtu aniambie juu ya kupanga uzazi
Uwa
Informer
Ambia paparazzi
Simeon siku hizi anavaa buibui mrembo
Mwenye alimpea mtoto hajui
Man, maintain total
System ni ya majambazi
Toka
Kila mtu apende it wasn't me
FM zingine hazifiki ushago uliza KBC wasomi
Homie
Wanataka vasectomy
Homie
Juu ya economy
Barua, Kwa Karani,amevaa miwani akae handsome to my honey
Kijana
Anakula mahindi unaskia harufu ya njugu
Haukuenda matanga ya ndugu
Nafanya my time nikichungwa na mungu
Ngumu kuwacha crime
Unaikula kama pilipili
Akili control mwili
Msichana alibadilisha mtoto kwa hospitali wakaishi kwa hali ya utajiri
Poison watu wa hoteli wakuje kwa hospitali tuliofungua
Una ndoto kununua baiskeli
Mi ndege
Chapa wasenge
DJ nilenge na reggae

Chorus
Hii system ni ya majambazi
Ma-pastor majambazi
Ministers majambazi
Ma-lawyer majambazi
Na si vijana wa ghetto
Maja-mbazi
Askari wazazi

Kuna vita nje
Ndio maana blood pressure inapanda
Bodyguards wanarandaranda
Bosses
Wanapimwa na silaha kwa veranda
Hauwezi shiba, Vizuri na watoto kwa nyumba
Huwezi iba vizuri police wako nyuma
Wee ni mali ya umma
Uwongo na mkono moja kwa bible
Kwea na mitambo ya chuma kwa parliament
Na nyumba za kuombea unatolewa ushuru na pistol
Kwa mdomo kwa jina la Kristo
Hewa imejaa diesel
Watu wanatamani kupumua kama magari na mandege protein na vitamin
Kwa matembe za kulevya
Dhuru afya ndio pesa zitengenezwe
Technology Shortcut za kifo
System
Eight minus four
Minus four equals zero
Miguu zinapanuliwa kwa giza
Tuliharibiwa vichwa na pombe
Tuko bado kwa mimba
Generation ilipita kwa condom zimetoboka juu ya kutotosheka
Tulizaliwa kwa ma-incubator
Vita ni juu ya tamaa
Mbio juu ya saa ministers
Badilisha magari kwa uwoga wa kufuatwa
Andika will leo in case
Kesho utamadwa
Patwa na bibi ya reverend nyongwa na sacrament
Pesa chafu kwa minister father na padre
Sumu kwa kinywaji
Hau-trust ata maji
Family pia ni wauaji
Tangu pesa pombe, nashuku macho zinaniangalia
Shuku mikono zinanisalimia
Gari zinaongeza mbio zikikukaribia
Nairobi mji wa
Wezi na malaya wanalia machozi za diamond kwa lodging
Flying squad wanahoji
Umetoa wapi gari na haufanyi kazi
Wee ni jam-jam-jambazi

Chorus
Hii system ni ya majambazi
Ma-pastor majambazi
Ministers majambazi
Ma-lawyer majambazi
Na si vijana wa ghetto
Maja-mbazi
Askari wazazi
Lolest!
#43 Posted : Friday, February 16, 2018 4:43:14 PM
Rank: Elder


Joined: 3/18/2011
Posts: 12,069
Location: Kianjokoma
'user' wrote:
unmbuguable by gidigidi

Laughing out loudly Laughing out loudly
Laughing out loudly smile Applause d'oh! Sad Drool Liar Shame on you Pray
essyk
#44 Posted : Friday, February 16, 2018 7:30:22 PM
Rank: Elder


Joined: 11/15/2011
Posts: 4,518
Ngogoyo wrote:
Naileta kwa mtaa yenu kama bunduki
Tena naileta kama chuki
Nafuata nyuki
Na silaha na kufunga kazi
Nafanya kazi ama nimeandika wafanyikazi
Tunakufa na umaskini ukimwi alafu mtu aniambie juu ya kupanga uzazi
Uwa
Informer
Ambia paparazzi
Simeon siku hizi anavaa buibui mrembo
Mwenye alimpea mtoto hajui
Man, maintain total
System ni ya majambazi
Toka
Kila mtu apende it wasn't me
FM zingine hazifiki ushago uliza KBC wasomi
Homie
Wanataka vasectomy
Homie
Juu ya economy
Barua, Kwa Karani,amevaa miwani akae handsome to my honey
Kijana
Anakula mahindi unaskia harufu ya njugu
Haukuenda matanga ya ndugu
Nafanya my time nikichungwa na mungu
Ngumu kuwacha crime
Unaikula kama pilipili
Akili control mwili
Msichana alibadilisha mtoto kwa hospitali wakaishi kwa hali ya utajiri
Poison watu wa hoteli wakuje kwa hospitali tuliofungua
Una ndoto kununua baiskeli
Mi ndege
Chapa wasenge
DJ nilenge na reggae

Chorus
Hii system ni ya majambazi
Ma-pastor majambazi
Ministers majambazi
Ma-lawyer majambazi
Na si vijana wa ghetto
Maja-mbazi
Askari wazazi

Kuna vita nje
Ndio maana blood pressure inapanda
Bodyguards wanarandaranda
Bosses
Wanapimwa na silaha kwa veranda
Hauwezi shiba, Vizuri na watoto kwa nyumba
Huwezi iba vizuri police wako nyuma
Wee ni mali ya umma
Uwongo na mkono moja kwa bible
Kwea na mitambo ya chuma kwa parliament
Na nyumba za kuombea unatolewa ushuru na pistol
Kwa mdomo kwa jina la Kristo
Hewa imejaa diesel
Watu wanatamani kupumua kama magari na mandege protein na vitamin
Kwa matembe za kulevya
Dhuru afya ndio pesa zitengenezwe
Technology Shortcut za kifo
System
Eight minus four
Minus four equals zero
Miguu zinapanuliwa kwa giza
Tuliharibiwa vichwa na pombe
Tuko bado kwa mimba
Generation ilipita kwa condom zimetoboka juu ya kutotosheka
Tulizaliwa kwa ma-incubator
Vita ni juu ya tamaa
Mbio juu ya saa ministers
Badilisha magari kwa uwoga wa kufuatwa
Andika will leo in case
Kesho utamadwa
Patwa na bibi ya reverend nyongwa na sacrament
Pesa chafu kwa minister father na padre
Sumu kwa kinywaji
Hau-trust ata maji
Family pia ni wauaji
Tangu pesa pombe, nashuku macho zinaniangalia
Shuku mikono zinanisalimia
Gari zinaongeza mbio zikikukaribia
Nairobi mji wa
Wezi na malaya wanalia machozi za diamond kwa lodging
Flying squad wanahoji
Umetoa wapi gari na haufanyi kazi
Wee ni jam-jam-jambazi

Chorus
Hii system ni ya majambazi
Ma-pastor majambazi
Ministers majambazi
Ma-lawyer majambazi
Na si vijana wa ghetto
Maja-mbazi
Askari wazazi


Aiii is this a song or a book?
"The true measure of a man is how he treats someone who can do him absolutely no good.
Users browsing this topic
Guest (3)
3 Pages<123
Forum Jump  
You cannot post new topics in this forum.
You cannot reply to topics in this forum.
You cannot delete your posts in this forum.
You cannot edit your posts in this forum.
You cannot create polls in this forum.
You cannot vote in polls in this forum.

Copyright © 2025 Wazua.co.ke. All Rights Reserved.