You should be allowed to vote if you are on the register.... watu waache ushenzi!! unapiga kura bila kujiandikisha kwa nini? don't people know the reason people register to vote is so that the IEBC plans for them to come and vote? Ballot paper yako inatoka wapi? Wino wa kalamu? Mipango hiyo mingine yote? Watu waache kuishi hivyo!! it's your right to vote but you must tell the Election Commission where you intend to vote so that they make arrangements for you to vote! Kama hukujiandikisha hunachako!
secondly,
Impunity wrote:Chebukati just told them "go to he'll, you had 3 months to verify your details"
This is a recipe for war...n massacre.
sasa -@Impunity, unatisha nani? watu wakuogopwa ni waKale bwana!!
All Mushrooms are edible! Some Mushroom are only edible ONCE!