wazua Tue, Dec 30, 2025
Welcome Guest Search | Active Topics | Log In

15 Pages<1234>»
Apostle William Samoei Ruto
Swenani
#21 Posted : Thursday, August 20, 2015 8:41:26 PM
Rank: User


Joined: 8/15/2013
Posts: 13,237
Location: Vacuum
Jump-steady wrote:
mawinder wrote:
Jump-steady wrote:
Nandwa wrote:



Pray Pray Pray

From being called the high priest of corruption to this? Poor guy. With this kind of tribulations, insomnia sets in followed by a cardiac arrest Sad

He stole public land in Ngong forest and sold to Pipeline, He stole maize from NCPB when he was agriculture minister, He stole 100m in the jet saga,He stole land where he built a mini 3 star hotel,He ordered for Mark Reges children to be teargassed when they were demonstrating against his thieving ways,He stole Muteshi's land and organized for burning of children and women in a church,His child holds the record for scoring the lowest marks in KCPE in Nairobi county among other ills.



Laughing out loudly Laughing out loudly

@Mawinder you are a hater and a sadist!Sad
Laughing out loudly Laughing out loudly Laughing out loudly Laughing out loudly Laughing out loudly Laughing out loudly
If Obiero did it, Who Am I?
¿
#22 Posted : Saturday, August 22, 2015 8:17:46 PM
Rank: Member


Joined: 6/4/2015
Posts: 604

smile
mawinder
#23 Posted : Sunday, August 23, 2015 11:14:25 AM
Rank: Elder


Joined: 4/30/2008
Posts: 6,029
Bwana International Criminal and Kenya's biggest suspected criminal, such moves will not save you.Prepare for a jail term of 87 years if found guilty!!!!!!!!!!!!!!!!!!
http://www.nation.co.ke/.../-/10dww76/-/index.html
Robinhood
#24 Posted : Monday, August 24, 2015 9:49:49 AM
Rank: Elder


Joined: 12/11/2008
Posts: 2,306
¿ wrote:

smile


Laughing out loudly Laughing out loudly Laughing out loudly

Is this guy serious?
Great men are not always wise, neither do the aged understand judgement...
mawinder
#25 Posted : Monday, August 24, 2015 10:15:11 AM
Rank: Elder


Joined: 4/30/2008
Posts: 6,029
Robinhood wrote:
¿ wrote:

smile


Laughing out loudly Laughing out loudly Laughing out loudly

Is this guy serious?

He must be trying to be ironical.
keraka
#26 Posted : Monday, August 24, 2015 8:18:47 PM
Rank: Member


Joined: 2/24/2010
Posts: 637
Location: Nairobi
mawinder wrote:
Robinhood wrote:
¿ wrote:

smile


Laughing out loudly Laughing out loudly Laughing out loudly

Is this guy serious?

He must be trying to be ironical.
Liar
The only thing necessary for the triumph of evil is for good men to do nothing.
mawinder
#27 Posted : Friday, September 04, 2015 4:58:04 PM
Rank: Elder


Joined: 4/30/2008
Posts: 6,029
mawinder wrote:
Bwana International Criminal and Kenya's biggest suspected criminal, such moves will not save you.Prepare for a jail term of 87 years if found guilty!!!!!!!!!!!!!!!!!!
http://www.nation.co.ke/.../-/10dww76/-/index.html

See what happened to Yebei, I wonder why such a fellow goes to church and pretends to be saved.I would rather go to hell than share heaven with Kenya's goldmedalist criminal!!!!!!!!!!!!
https://kenyapoa.wordpre...a-reveals-to-al-jazeera/
keraka
#28 Posted : Saturday, September 05, 2015 1:06:20 PM
Rank: Member


Joined: 2/24/2010
Posts: 637
Location: Nairobi
mawinder wrote:
[quote=mawinder]Bwana International Criminal and Kenya's biggest suspected criminal, such moves will not save you.Prepare for a jail term of 87 years if found guilty!!!!!!!!!!!!!!!!!!
http://www.nation.co.ke/.../-/10dww76/-/index.html

See what happened to Yebei, I wonder why such a fellow goes to church and pretends to be saved.I would rather go to hell than share heaven with Kenya's goldmedalist criminal!!!!!!!!!!!!
https://kenyapoa.wordpre...-reveals-to-al-jazeera/[/quote] And pple still sing such guys praise songs.In a span of a few years he turns from Arap Milosevic to apostle.
The only thing necessary for the triumph of evil is for good men to do nothing.
mawinder
#29 Posted : Thursday, September 10, 2015 9:38:42 AM
Rank: Elder


Joined: 4/30/2008
Posts: 6,029
keraka wrote:
mawinder wrote:
[quote=mawinder]Bwana International Criminal and Kenya's biggest suspected criminal, such moves will not save you.Prepare for a jail term of 87 years if found guilty!!!!!!!!!!!!!!!!!!
http://www.nation.co.ke/.../-/10dww76/-/index.html

See what happened to Yebei, I wonder why such a fellow goes to church and pretends to be saved.I would rather go to hell than share heaven with Kenya's goldmedalist criminal!!!!!!!!!!!!
https://kenyapoa.wordpre...-reveals-to-al-jazeera/[/quote] And pple still sing such guys praise songs.In a span of a few years he turns from Arap Milosevic to apostle.

Raila was right.He has been voted as Kenya's most corrupt man.I shudder when I think that if anything happens to our president, he is next in line to be PORK.A very bad man who on the conclusion of his case should be jailed for 75 years.
http://www.the-star.co.k...ked-corruption-awareness
McReggae
#30 Posted : Thursday, September 10, 2015 9:44:39 AM
Rank: Elder


Joined: 6/17/2008
Posts: 23,365
Location: Nairobi
The fall of Machozi is taking shape!!!!!
..."Wewe ni mtu mdogo sana....na mwenye amekuandika pia ni mtu mdogo sana!".
mawinder
#31 Posted : Thursday, September 10, 2015 9:50:19 AM
Rank: Elder


Joined: 4/30/2008
Posts: 6,029
McReggae wrote:
The fall of Machozi is taking shape!!!!!

Good news, let him be handed over to ICC to jail him.Instead of praying for the women and children that were burnt in a church, he is wasting tax payers money.This man whenever he passes by my land and I see him look at it, I become very afraid as it may go.
kaka2za
#32 Posted : Thursday, September 10, 2015 12:05:34 PM
Rank: Elder


Joined: 10/3/2008
Posts: 4,057
Location: Gwitu
Man Toro was assumed to be a passing cloud,Ubako was derided to be Gen Coward and Uhunye was thought to be stillborn Nyayo Project.

Machozi will come good. Watch this space. WSR and WT2 in 2021.






Truth forever on the scaffold
Wrong forever on the throne
(James Russell Rowell)
Jump-steady
#33 Posted : Thursday, September 10, 2015 7:17:41 PM
Rank: Veteran


Joined: 12/1/2008
Posts: 1,098
McReggae wrote:
The fall of Machozi is taking shape!!!!!


Not really, there are some unconfirmed news that the prosecutor wants to throw in the towel just like in the previous case of uhuru.
murchr
#34 Posted : Thursday, September 10, 2015 7:28:00 PM
Rank: Elder


Joined: 2/26/2012
Posts: 15,980
Its over for Bensouda, its now upto the defense to give their version of events

"ICC Prosecutor has given notification of closure of her side of case against Ruto and Sang. Now is Defense side"
"There are only two emotions in the market, hope & fear. The problem is you hope when you should fear & fear when you should hope: - Jesse Livermore
.
Impunity
#35 Posted : Thursday, September 10, 2015 8:16:58 PM
Rank: Elder


Joined: 3/2/2009
Posts: 26,330
Location: Masada
mawinder wrote:
keraka wrote:
[quote=mawinder][quote=mawinder]Bwana International Criminal and Kenya's biggest suspected criminal, such moves will not save you.Prepare for a jail term of 87 years if found guilty!!!!!!!!!!!!!!!!!!
http://www.nation.co.ke/.../-/10dww76/-/index.html

See what happened to Yebei, I wonder why such a fellow goes to church and pretends to be saved.I would rather go to hell than share heaven with Kenya's goldmedalist criminal!!!!!!!!!!!!
https://kenyapoa.wordpre...-reveals-to-al-jazeera/[/quote] And pple still sing such guys praise songs.In a span of a few years he turns from Arap Milosevic to apostle.

Raila was right.He has been voted as Kenya's most corrupt man.I shudder when I think that if anything happens to our president, he is next in line to be PORK.A very bad man who on the conclusion of his case should be jailed for 75 years.
http://www.the-star.co.k...ed-corruption-awareness[/quote]
mbona unampunguzia miaka?they were 87 and now you put it at 75..
Portfolio: Sold
You know you've made it when you get a parking space for your yatcht.

mawinder
#36 Posted : Friday, September 11, 2015 8:32:01 AM
Rank: Elder


Joined: 4/30/2008
Posts: 6,029
Impunity wrote:
mawinder wrote:
keraka wrote:
[quote=mawinder][quote=mawinder]Bwana International Criminal and Kenya's biggest suspected criminal, such moves will not save you.Prepare for a jail term of 87 years if found guilty!!!!!!!!!!!!!!!!!!
http://www.nation.co.ke/.../-/10dww76/-/index.html

See what happened to Yebei, I wonder why such a fellow goes to church and pretends to be saved.I would rather go to hell than share heaven with Kenya's goldmedalist criminal!!!!!!!!!!!!
https://kenyapoa.wordpre...-reveals-to-al-jazeera/[/quote] And pple still sing such guys praise songs.In a span of a few years he turns from Arap Milosevic to apostle.

Raila was right.He has been voted as Kenya's most corrupt man.I shudder when I think that if anything happens to our president, he is next in line to be PORK.A very bad man who on the conclusion of his case should be jailed for 75 years.
http://www.the-star.co.k...ed-corruption-awareness[/quote]
mbona unampunguzia miaka?they were 87 and now you put it at 75..

Sorry, should be 87 years.He is the same fellow who was saying dont be vague go to hague.Let him be ready to serve the jail term once found guilty.
tajiri
#37 Posted : Friday, September 11, 2015 10:20:08 AM
Rank: Member


Joined: 9/28/2007
Posts: 45
Mawinder, go slow on hustler. The sky team guys can be very ruthless when they catch up with you. They can deny you a chance to enjoy a drink at Hush lounge.
mawinder
#38 Posted : Wednesday, September 16, 2015 4:52:31 PM
Rank: Elder


Joined: 4/30/2008
Posts: 6,029
tajiri wrote:
Mawinder, go slow on hustler. The sky team guys can be very ruthless when they catch up with you. They can deny you a chance to enjoy a drink at Hush lounge.

Be careful what you pray for.Hague is beckoning!!!!!!!!!!!!!!!!!
http://www.nation.co.ke/...n/-/pcy1h8z/-/index.html
Swenani
#39 Posted : Friday, October 16, 2015 3:56:06 PM
Rank: User


Joined: 8/15/2013
Posts: 13,237
Location: Vacuum
Courtesy of Moha

Quote:
BARUA KWA WILLIAM RUTO
Hujambo bwana kusema na kutenda. Naomba safari hii kabla hujatenda nikujulishe mawili hivi. Najua huna raha, hupati usingizi na unahofia maisha yako licha ya utajiri uliyonayo. Leo hii umejipata kubanwa na uliowaamini. Ndoa za haraka na tama zina shida bwana Ruto. Ukipenda viazi usiogope mimba ndio msemo wetu kule vilima vya raha. Ndoa yako na Uhuru Kenyatta imefikia kiwango cha mtu mmoja kati yenu kupata mimba. Si mimba ya mtoto bali mimba ya machungu na kusalitiana. Miaka ya nyuma kabla ya wewe kuwa HUSTLER wa kizazi kipya niliwahi kukutembelea mara kwa mara katika afisi zako katika jumba la Transnational. Tulizungumza na kutaniana na hata kuzungumza kwa simu. Ulikuwa machachari na mtu wa watu. Mwaka wa 2007/ 2008 baada ya ghasia za baada ya uchaguzi wewe na Raila mlikuwa chanda na pete mkijaribu kuunda serikali ya muungano na kupigania nafasi ya ukubwa wa wana odm katika serikali hiyo iliyowaibia kura. Katika pilka pilka hizo usaliti wa hali ya juu ulitendeka. Wabakaji wa demokrasia walianza kunoa kisu huku nyinyi mkidhani mambo yalikuwa yashakwisha. Baada ya kufanyiwa unyama na PNU nilidhani mmejifunza mawili kuhusiana na ndoa za kipumbavu. Lakini naona mlisahau kuwa ukila na kipofu kuwa mwangalifu kwani akikosa nyama atakushika mkono. Sasa nahofia chakula cha jubilee kimeisha na vipofu wote wanataka kukushika wewe mkono uwe kitoweo chao cha mwisho. Hamna anayekupenda, wewe ulikuwa chombo, chombo cha kuwavukisha wao kutoka masaibu yao. Kila mwenda kwa mganga lazima atoe kafara na kafara ni wewe. Nahofia utafungwa ama utakuwa mkimbizi wa ndani kwa ndani na ndio hio siku utajua masaibu ya kuishi kama wakimbizi wa ndani kwa ndani mwaka wa 2007/8. Utakuwa huna raha, utadhalilishwa, utakuwa mnyonge bila haki na hatimaye utakuwa huna maana kwa serikali ya TNA. Wacha niseme TNA kwa sababu URP haina usemi tena. URP imebakwa peupe wazi wazi, URP inalea mimba haramu, mimba ya kujitakia. William Ruto usidanganywe na maombi za kinafiki zinazotekelezwa na wafuasi na maadui wako. Kama unataka kutatua shida zako binafsi na maombi tasa pole. Maombi ni ya kuondoa usinzi, wanaofumaniwa na wake za watu, mapepo na kumshukuru mungu na kumwogopa. Sio safari za mahakamani. Ruto, imefika wakati wa kucheza karata yako ya mwisho. Katika kucheza kwako jiepushe na Adan Duale na Kipchumba Murkomen hawa wawili ni wajuzi wa ligi za kitoto au wacha niseme ligi za mchezo wa tufe( mpira wa karatasi) unaochezwa na watoto. Hawatokusaidia ila watazidi kuongeza kuni kwenye moto. Moses Kuria anafanya yanayofanywa na Duale na Kipchumba ndani ya TNA sasa moto umewaka na ni sharti chakula kipikwe. Kabla wakupike janjaruka. Kenya imekuwa taifa la kuzalisha wanafiki na watu waoga. Tumekubali ukiritimba itawale. Profesa hana tofauti na mtoto wa darasa la kwanza. Jiepushe na wanaokuzunguka na kujifanya wasomi ila ni watu wa maslahi. Maji tayari yamemwagika lakini ni wewe kuamua mkondo wa maji hayo. Huna budi kurudi kwa marafiki zako wa zamani kwani tayari wakenya washajua kikulacho ki nguoni mwako. Kwa maoni yangu binafsi na naomba unikosoe ni wewe kujiondoa mara moja kwenye muungano wa kinafiki. Warudie uliowakosea na uombe msamaha hakika Mungu anatuamrisha kuwasamehe maadui. Najua ni aibu kwako lakini kumbuka una familia. Aidha usiwahi kuwaona ama uishi bila ya kuwaona. Uamuzi umo mikononi mwako. Kuna uwezekano wa kujifunza na haya na kuamua kuunda muungano wa ukombozi wa tatu kina nyinyi mkiwa nyuma muwaachie vijana usukani. Kuna ile kadi moja ya mwisho ya wewe kuwatumia wana URP kupasisha mswaada na wana CORD wa kumwondoa Uhuru Kenyatta mamlakani kwa wingi wa kura bungeni lakini kwa yale umewafanyia wakenya miaka mitatu sioni kama CORD itakubali uwe Rais kwa miaka miwili iliyosalia kwa mujibu wa katiba ya Kenya. Bwana Ruto huu ni wakati wako wakuwaza na kuwazua. Tunazo changamatoto zinazotukabili kama taifa. Badala ya kukaa na kujiuliza kwa nini tuko hapa na tutatoka vipi, tunakaa na kuongea mambo ya kinafiki na ukabila. Akili ndogo kutawala akili kubwa. Watu wenye akili kubwa wanaweka akili zao mfukoni kwa sababu ya ushabiki wa kivyama badala ya kukaa na kutatua matatizo ya wakenya. Bunge limekuwa bunge la kitototo. Wakenya sasa wanataka bunge la mapinduzi. Badala ya kuwazomea wakenya waskilizeni. Deni la Kenya linazidi kuongezeka. Kila mkenya anadaiwa hata mimba inadaiwa. Ndio taifa tuliyonayo sasa. Williama Samoei Arap Ruto huna la ziada sasa. Tayari chama chako na uongozi wako umebakwa ki-demokrasia. Waswahili wanasema mimba ya mwanaharamu huingia mara moja ya pili ni kusudi. Je, ulisahau mimba ya mwaka wa 2007? Kwa nini umekubali mimba nyengine mwaka wa 2013? Umechezewa shere tangu na mwanzo wa ndoa yenu ya vichochoroni. Huna sura sasa, wakenya hawatokukubali tangu watoto wao wapigwe na vitoa machozi wakipigania uwanja wa shule yao ya msingi wa langata. Huna sura tena, ufisadi umekuwa jina lako la pili. Wakenya hawakuamini tena. Iwapo ulijikakamua na kuwasaidia wakenya tangu mchukue uongozi leo hii wangekusitiri na kukupokea lakini ulisahau kuna kupanda na kushuka. Leo zamu ya kushuka kukutana na sisi kina yahe. Hatutakudhulumu wala kukuita majina, sisi tutaoongozwa na dini na hekima. Karibu nyumbani lakini kumbuka sisi hatuna nguvu za kukusaidia maana sote ni maskini kama mlivyotufanyia mlipokuwa masimba. Mlitufanya maskini kwa kutudhulumu na uongozi wenu wa kusema na kuenda. Leo bwana Ruto hakuendeki. Huna budi kumkumbatia Raila Amollo Odinga na kumwomba msamaha kwa semi zako za chuki dhidi yake. Akufaye kwa dhiki ndiye rafiki. Kumbuke hata simba ni mkali lakini hutiwa mimba. Kuwa na ijumaa njema. Ni mimi rafiki wako wa zamani, Mohammed Ali.
Mohammed Ali ni Mhariri Mkuu wa Kitengo cha Upekuzi KTN.Kuwasiliana naye: mali@standardmedia.co.ke, FB: Official Jicho Pevu with Mohammed Ali, Twitter: @mohajichopevu
TWAOMBA RADHI.
Katika makala ya wiki iliyopita ( kuna serikali kweli Kenya ), tulisema kuwa tangu jubilee iingie mamlakani, wakenya zaidi ya laki tatu wamepoteza maisha yao kutokana na hali mbaya ya usalama. Tungelipenda kusahihisha na kusema kuwa tulikuwa tukimaanisha watu zaidi ya 300
If Obiero did it, Who Am I?
mawinder
#40 Posted : Friday, October 16, 2015 4:47:22 PM
Rank: Elder


Joined: 4/30/2008
Posts: 6,029
Swenani wrote:
Courtesy of Moha

Quote:
BARUA KWA WILLIAM RUTO
Hujambo bwana kusema na kutenda. Naomba safari hii kabla hujatenda nikujulishe mawili hivi. Najua huna raha, hupati usingizi na unahofia maisha yako licha ya utajiri uliyonayo. Leo hii umejipata kubanwa na uliowaamini. Ndoa za haraka na tama zina shida bwana Ruto. Ukipenda viazi usiogope mimba ndio msemo wetu kule vilima vya raha. Ndoa yako na Uhuru Kenyatta imefikia kiwango cha mtu mmoja kati yenu kupata mimba. Si mimba ya mtoto bali mimba ya machungu na kusalitiana. Miaka ya nyuma kabla ya wewe kuwa HUSTLER wa kizazi kipya niliwahi kukutembelea mara kwa mara katika afisi zako katika jumba la Transnational. Tulizungumza na kutaniana na hata kuzungumza kwa simu. Ulikuwa machachari na mtu wa watu. Mwaka wa 2007/ 2008 baada ya ghasia za baada ya uchaguzi wewe na Raila mlikuwa chanda na pete mkijaribu kuunda serikali ya muungano na kupigania nafasi ya ukubwa wa wana odm katika serikali hiyo iliyowaibia kura. Katika pilka pilka hizo usaliti wa hali ya juu ulitendeka. Wabakaji wa demokrasia walianza kunoa kisu huku nyinyi mkidhani mambo yalikuwa yashakwisha. Baada ya kufanyiwa unyama na PNU nilidhani mmejifunza mawili kuhusiana na ndoa za kipumbavu. Lakini naona mlisahau kuwa ukila na kipofu kuwa mwangalifu kwani akikosa nyama atakushika mkono. Sasa nahofia chakula cha jubilee kimeisha na vipofu wote wanataka kukushika wewe mkono uwe kitoweo chao cha mwisho. Hamna anayekupenda, wewe ulikuwa chombo, chombo cha kuwavukisha wao kutoka masaibu yao. Kila mwenda kwa mganga lazima atoe kafara na kafara ni wewe. Nahofia utafungwa ama utakuwa mkimbizi wa ndani kwa ndani na ndio hio siku utajua masaibu ya kuishi kama wakimbizi wa ndani kwa ndani mwaka wa 2007/8. Utakuwa huna raha, utadhalilishwa, utakuwa mnyonge bila haki na hatimaye utakuwa huna maana kwa serikali ya TNA. Wacha niseme TNA kwa sababu URP haina usemi tena. URP imebakwa peupe wazi wazi, URP inalea mimba haramu, mimba ya kujitakia. William Ruto usidanganywe na maombi za kinafiki zinazotekelezwa na wafuasi na maadui wako. Kama unataka kutatua shida zako binafsi na maombi tasa pole. Maombi ni ya kuondoa usinzi, wanaofumaniwa na wake za watu, mapepo na kumshukuru mungu na kumwogopa. Sio safari za mahakamani. Ruto, imefika wakati wa kucheza karata yako ya mwisho. Katika kucheza kwako jiepushe na Adan Duale na Kipchumba Murkomen hawa wawili ni wajuzi wa ligi za kitoto au wacha niseme ligi za mchezo wa tufe( mpira wa karatasi) unaochezwa na watoto. Hawatokusaidia ila watazidi kuongeza kuni kwenye moto. Moses Kuria anafanya yanayofanywa na Duale na Kipchumba ndani ya TNA sasa moto umewaka na ni sharti chakula kipikwe. Kabla wakupike janjaruka. Kenya imekuwa taifa la kuzalisha wanafiki na watu waoga. Tumekubali ukiritimba itawale. Profesa hana tofauti na mtoto wa darasa la kwanza. Jiepushe na wanaokuzunguka na kujifanya wasomi ila ni watu wa maslahi. Maji tayari yamemwagika lakini ni wewe kuamua mkondo wa maji hayo. Huna budi kurudi kwa marafiki zako wa zamani kwani tayari wakenya washajua kikulacho ki nguoni mwako. Kwa maoni yangu binafsi na naomba unikosoe ni wewe kujiondoa mara moja kwenye muungano wa kinafiki. Warudie uliowakosea na uombe msamaha hakika Mungu anatuamrisha kuwasamehe maadui. Najua ni aibu kwako lakini kumbuka una familia. Aidha usiwahi kuwaona ama uishi bila ya kuwaona. Uamuzi umo mikononi mwako. Kuna uwezekano wa kujifunza na haya na kuamua kuunda muungano wa ukombozi wa tatu kina nyinyi mkiwa nyuma muwaachie vijana usukani. Kuna ile kadi moja ya mwisho ya wewe kuwatumia wana URP kupasisha mswaada na wana CORD wa kumwondoa Uhuru Kenyatta mamlakani kwa wingi wa kura bungeni lakini kwa yale umewafanyia wakenya miaka mitatu sioni kama CORD itakubali uwe Rais kwa miaka miwili iliyosalia kwa mujibu wa katiba ya Kenya. Bwana Ruto huu ni wakati wako wakuwaza na kuwazua. Tunazo changamatoto zinazotukabili kama taifa. Badala ya kukaa na kujiuliza kwa nini tuko hapa na tutatoka vipi, tunakaa na kuongea mambo ya kinafiki na ukabila. Akili ndogo kutawala akili kubwa. Watu wenye akili kubwa wanaweka akili zao mfukoni kwa sababu ya ushabiki wa kivyama badala ya kukaa na kutatua matatizo ya wakenya. Bunge limekuwa bunge la kitototo. Wakenya sasa wanataka bunge la mapinduzi. Badala ya kuwazomea wakenya waskilizeni. Deni la Kenya linazidi kuongezeka. Kila mkenya anadaiwa hata mimba inadaiwa. Ndio taifa tuliyonayo sasa. Williama Samoei Arap Ruto huna la ziada sasa. Tayari chama chako na uongozi wako umebakwa ki-demokrasia. Waswahili wanasema mimba ya mwanaharamu huingia mara moja ya pili ni kusudi. Je, ulisahau mimba ya mwaka wa 2007? Kwa nini umekubali mimba nyengine mwaka wa 2013? Umechezewa shere tangu na mwanzo wa ndoa yenu ya vichochoroni. Huna sura sasa, wakenya hawatokukubali tangu watoto wao wapigwe na vitoa machozi wakipigania uwanja wa shule yao ya msingi wa langata. Huna sura tena, ufisadi umekuwa jina lako la pili. Wakenya hawakuamini tena. Iwapo ulijikakamua na kuwasaidia wakenya tangu mchukue uongozi leo hii wangekusitiri na kukupokea lakini ulisahau kuna kupanda na kushuka. Leo zamu ya kushuka kukutana na sisi kina yahe. Hatutakudhulumu wala kukuita majina, sisi tutaoongozwa na dini na hekima. Karibu nyumbani lakini kumbuka sisi hatuna nguvu za kukusaidia maana sote ni maskini kama mlivyotufanyia mlipokuwa masimba. Mlitufanya maskini kwa kutudhulumu na uongozi wenu wa kusema na kuenda. Leo bwana Ruto hakuendeki. Huna budi kumkumbatia Raila Amollo Odinga na kumwomba msamaha kwa semi zako za chuki dhidi yake. Akufaye kwa dhiki ndiye rafiki. Kumbuke hata simba ni mkali lakini hutiwa mimba. Kuwa na ijumaa njema. Ni mimi rafiki wako wa zamani, Mohammed Ali.
Mohammed Ali ni Mhariri Mkuu wa Kitengo cha Upekuzi KTN.Kuwasiliana naye: mali@standardmedia.co.ke, FB: Official Jicho Pevu with Mohammed Ali, Twitter: @mohajichopevu
TWAOMBA RADHI.
Katika makala ya wiki iliyopita ( kuna serikali kweli Kenya ), tulisema kuwa tangu jubilee iingie mamlakani, wakenya zaidi ya laki tatu wamepoteza maisha yao kutokana na hali mbaya ya usalama. Tungelipenda kusahihisha na kusema kuwa tulikuhwa tukimaanisha watu zaidi ya 300

What is it in English and in brief. Some of us cannot read that language.
Users browsing this topic
Guest
15 Pages<1234>»
Forum Jump  
You cannot post new topics in this forum.
You cannot reply to topics in this forum.
You cannot delete your posts in this forum.
You cannot edit your posts in this forum.
You cannot create polls in this forum.
You cannot vote in polls in this forum.

Copyright © 2025 Wazua.co.ke. All Rights Reserved.