wazua Thu, Jun 25, 2026
Welcome Guest Search | Active Topics | Log In

3 Pages<123
Arusha Blast
Mtu Biz
#21 Posted : Tuesday, July 08, 2014 4:56:24 PM
Rank: Veteran

Joined: 1/16/2007
Posts: 1,320
masukuma wrote:
Quote:
Mkuu mtu mwenye nia thabiti ya kufanya uharifu mkubwa kama milipuko, hawezi hata siku moja akaweka improvised explosives au a real one sehemu ambayo vitaonekana kirahisi ili wenye malengo yao OVU wapate publicity STUNT ya kutosha, baadae kabisa wa-zero in kuwatia misuko suko watu ambao hawahusiki kabisa!!

Binafsi publicity STUNTS hizi za kitoto sizipendi kabisa - tusipokuwa makini Taifa letu linaweza kujikuta linajingiza katika machafuko ya kijinga kutokana na baadhi ya Watanzania wenzetu, wengi wao wenye dhamana kujaribu ku-manufacture migogoro hisiyo kuwa na kichwa wala miguu, Tanzania ni ya watu wote tunapaswa kukemea kwa nguvu zetu zote kwa wenzetu wenye lengo la kuleta vurugu za kuchonga tu.

Mimi nawapa rahi kwamba unaweza kuchonga migogoro na machafuko lakini huna uwezo wa Kimungu au kinabii kujuwa mwisho wake utakuwa vipi. Huku kutoona mbali kwetu ni rahisi nchi ambazo zina lengo baya na Taifa letu ku-exploit ukosefu akili wa kwetu kuwapenyeza watu wageni tukajikuta tunayo yasikia kwa majirani zetu yanahamia kwetu! YOU'VE BEEN WARNED, lazima Watanzania bila ya kujali Vyeo vyetu/wadhifa kufikilia mara mbila kabla hatujaruka i.e think TWICE b4 you LEAP.


Tanzanian version of @alma
Sola Scriptura


murchr
#22 Posted : Wednesday, July 09, 2014 2:26:19 AM
Rank: Elder

Joined: 2/26/2012
Posts: 15,980
Kweli Mtanzania ni mjinga tu
"There are only two emotions in the market, hope & fear. The problem is you hope when you should fear & fear when you should hope: - Jesse Livermore
.
Gathige
#23 Posted : Wednesday, July 09, 2014 6:49:12 AM
Rank: Elder

Joined: 3/29/2011
Posts: 2,242
Mtu Biz wrote:
masukuma wrote:
Quote:
Mkuu mtu mwenye nia thabiti ya kufanya uharifu mkubwa kama milipuko, hawezi hata siku moja akaweka improvised explosives au a real one sehemu ambayo vitaonekana kirahisi ili wenye malengo yao OVU wapate publicity STUNT ya kutosha, baadae kabisa wa-zero in kuwatia misuko suko watu ambao hawahusiki kabisa!!

Binafsi publicity STUNTS hizi za kitoto sizipendi kabisa - tusipokuwa makini Taifa letu linaweza kujikuta linajingiza katika machafuko ya kijinga kutokana na baadhi ya Watanzania wenzetu, wengi wao wenye dhamana kujaribu ku-manufacture migogoro hisiyo kuwa na kichwa wala miguu, Tanzania ni ya watu wote tunapaswa kukemea kwa nguvu zetu zote kwa wenzetu wenye lengo la kuleta vurugu za kuchonga tu.

Mimi nawapa rahi kwamba unaweza kuchonga migogoro na machafuko lakini huna uwezo wa Kimungu au kinabii kujuwa mwisho wake utakuwa vipi. Huku kutoona mbali kwetu ni rahisi nchi ambazo zina lengo baya na Taifa letu ku-exploit ukosefu akili wa kwetu kuwapenyeza watu wageni tukajikuta tunayo yasikia kwa majirani zetu yanahamia kwetu! YOU'VE BEEN WARNED, lazima Watanzania bila ya kujali Vyeo vyetu/wadhifa kufikilia mara mbila kabla hatujaruka i.e think TWICE b4 you LEAP.


Tanzanian version of @alma




Hi TZ Swa one needs a Google translator to read and understand
"Things that matter most must never be at the mercy of things that matter least." Goethe
guru267
#24 Posted : Wednesday, July 09, 2014 7:25:20 AM
Rank: Elder

Joined: 1/21/2010
Posts: 6,675
Location: Nairobi
Tanzania blundered when they decided to train Somali National Army soldiers...

Now they are in the Shabaab mix! Sad

www.sabahionline.com/en_...es/2014/06/11/feature-01
Mark 12:29
Deuteronomy 4:16
Intelligentsia
#25 Posted : Wednesday, July 09, 2014 9:29:06 AM
Rank: Elder

Joined: 10/1/2009
Posts: 2,436
Tz intel doesn't even know where Yahaya lives..smile
kaka2za
#26 Posted : Wednesday, July 09, 2014 11:33:23 AM
Rank: Elder

Joined: 10/3/2008
Posts: 4,058
Location: Gwitu
Intelligentsia wrote:
Tz intel doesn't even know where Yahaya lives..smile


But Yahaya supposedly works for usalama wa taifa?Laughing out loudly
Truth forever on the scaffold
Wrong forever on the throne
(James Russell Rowell)
simonkabz
#27 Posted : Wednesday, July 23, 2014 1:28:27 AM
Rank: Elder

Joined: 3/2/2007
Posts: 8,776
Location: Cameroon
Arusha.....



Jubilee is failing even in Arusha argh
TULIA.........UFUNZWE!
3 Pages<123
Forum Jump  
You cannot post new topics in this forum.
You cannot reply to topics in this forum.
You cannot delete your posts in this forum.
You cannot edit your posts in this forum.
You cannot create polls in this forum.
You cannot vote in polls in this forum.

Copyright © 2026 Wazua.co.ke. All Rights Reserved.