wazua Thu, May 7, 2026
Welcome Guest Search | Active Topics | Log In

369 Pages«<202203204205206>»
SK ni furahiday.....saa ya phombe!!!!
Rankaz13
#2031 Posted : Sunday, January 05, 2014 10:51:41 PM
Rank: Elder

Joined: 5/21/2013
Posts: 2,841
Location: Here
SHERIA NA MASHARTI.

ZIFUATAZO NI ADHABU ZITOLEWAZO KWA UVUNJAJI WA SHERIA ZA CHAMA CHA
WANYWAJI POMBE na Bw. MUTHUTHO:

1. Kosa la kumtoroka mlevi mwenzako kwenye bar - Jela miezi tisa.
2. Kuacha kunywa pombe na fedha unazo - Kifungo cha maisha.
3. Kuvunja chupa ya beer - Jela miaka miwili.
4. Kumkaribisha mume au mke wa rafiki yako bila idhini yake - Viboko ishirini vya makalio na kufungiwa kunywa nusu siku.
5. Kumchukulia dhamana mtu asiyepiga mma(pombe) - Adhabu yake ni kufukuzwa/kutolewa chamani.
6. Kumwibia pombe mlevi mwenzako ni kosa kubwa - Jela mwaka mmoja.
7. Kukataa kunywa wakati umekaribishwa - Jela miaka mitano.
8. Kukwepa ulevi wa aina yoyote - adhabu ni Kunyang'anywa mume au mke, kama huna basi utaozwa mume au mke kwa nguvu.
9. Kupita Bar au Grocery na kujifanya huoni hilo ni kosa kubwa linalostahili faini ya kuwanunulia wanywaji wote waliokuwa kwenye
Grocery au Bar kila mtu kinywaji anachokunywa na kukaa ukiwaangalia mpaka wamalize.
10. Kumcheka mnywaji mwenzako akiwa amelewa ni kosa la jinai, unachotakiwa kufanya ni kumpongeza kwa kazi nzito aliyoifanya. Adhabu yake ni - Kutolewa kwenye Bar kwa muda wa dakika moja.
Life is like playing a violin solo in public and learning the instrument as one goes on.
ZZE123
#2032 Posted : Friday, January 10, 2014 11:02:11 AM
Rank: Elder

Joined: 6/21/2008
Posts: 2,490

The man who marries a beautiful woman, and the farmer who grows corn by the roadside have the same problem
McReggae
#2033 Posted : Friday, January 10, 2014 11:07:36 AM
Rank: Elder

Joined: 6/17/2008
Posts: 23,365
Location: Nairobi
Gin and tonic nyale!!!!
..."Wewe ni mtu mdogo sana....na mwenye amekuandika pia ni mtu mdogo sana!".
Swenani
#2034 Posted : Friday, January 10, 2014 11:24:26 AM
Rank: User

Joined: 8/15/2013
Posts: 13,237
Location: Vacuum
deleted
If Obiero did it, Who Am I?
wanyuru
#2035 Posted : Friday, January 10, 2014 11:26:01 AM
Rank: Veteran

Joined: 11/29/2007
Posts: 948
GK baridi
Swenani
#2036 Posted : Friday, January 10, 2014 11:26:37 AM
Rank: User

Joined: 8/15/2013
Posts: 13,237
Location: Vacuum
butterflyke wrote:
Not to get too technical but according to chemistry, alcohol is a solution. smile



If Obiero did it, Who Am I?
Swenani
#2037 Posted : Friday, January 10, 2014 11:29:34 AM
Rank: User

Joined: 8/15/2013
Posts: 13,237
Location: Vacuum
jaggernaut wrote:
butterflyke wrote:
Not to get too technical but according to chemistry, alcohol is a solution. smile

And while still on alcohol, chemical wise, is there a difference in the alcohol in Jameson and that in kibao/Blue moon, ama the difference in the drinks are the other 'filler' cpds?


The difference is in the duration of maturity,the process and probably the ingredients
If Obiero did it, Who Am I?
McReggae
#2038 Posted : Friday, January 10, 2014 12:20:49 PM
Rank: Elder

Joined: 6/17/2008
Posts: 23,365
Location: Nairobi
McReggae wrote:
Gin and tonic nyale!!!!


..."Wewe ni mtu mdogo sana....na mwenye amekuandika pia ni mtu mdogo sana!".
King G
#2039 Posted : Friday, January 10, 2014 12:27:44 PM
Rank: Elder

Joined: 6/20/2012
Posts: 3,855
Location: Othumo
McReggae wrote:
McReggae wrote:
Gin and tonic nyale!!!!




Need to try this thing, anybody know kama iko Uchumi.
Thieves
McReggae
#2040 Posted : Friday, January 10, 2014 12:37:14 PM
Rank: Elder

Joined: 6/17/2008
Posts: 23,365
Location: Nairobi
King G wrote:
McReggae wrote:
McReggae wrote:
Gin and tonic nyale!!!!




Need to try this thing, anybody know kama iko Uchumi.


Hapo West mall kwa Ben, that wines and spirits shop facing the road!!!!
..."Wewe ni mtu mdogo sana....na mwenye amekuandika pia ni mtu mdogo sana!".
369 Pages«<202203204205206>»
Forum Jump  
You cannot post new topics in this forum.
You cannot reply to topics in this forum.
You cannot delete your posts in this forum.
You cannot edit your posts in this forum.
You cannot create polls in this forum.
You cannot vote in polls in this forum.

Copyright © 2026 Wazua.co.ke. All Rights Reserved.